PICHA ZAIDI ZA AJALI MBAYA YA GARI ALIYOIPATA MAKONGORO NYERERE LEO HUKO MKOANI KIGOMA
Wananchi wakiwa eneo la tukio ilipotokea ajali hiyo ya gari la Mhe. Makongoro Nyerere.
Chanzo
cha Uhakika kutoka Wilayani Kasulu ambapo Gari alilopanda Makongoro
Nyerere limepinduka na imeelezwa kuwa kapelekwa hospitali ya wilaya kwa
ajili ya uchunguzi.
Lakini taarifa zilizozipata hivi punde kupitia Jamii Forum zimesema Makongoro nyerere hakuwepo kwenye gari hilo.
0 comments:
Post a Comment