Home » » MIAKA HAMSINI YA UHURU WAKAZI WA VIWENGI IRINGA WALIA NA MAJI

MIAKA HAMSINI YA UHURU WAKAZI WA VIWENGI IRINGA WALIA NA MAJI


Hawa ni wananchi wa kijiji cha lundamatwe kitongoji cha viwengi jimbo la kilolo mkoani iringa nyambizi la sunrise power nuru fm 93.5 iringa, Limewatembelea na kuzungumza nao wananchi hawa hakika wanashida nyingi ikiwemo maji ni tatizo kubwa,
Kama unavyoona picha hayo ndio maji wanayokunywa na kuoga na matumizi yote licha ya kuwa ni machafu bado maji haya huisha mapema. na kujikuta wakitumia muda mwingi kutafuta maji.
Jadili pamoja nami kupitia ukurasa huu au kupitia matangazo ya Radio Nuru Fm 93.5 iringa kesho asubuhi saa 12:30 - 4 kamili.
Wananchi hawa wana viongozi kama.....
1. diwani
2. mtendaji.
3. mwenyekiti.
4. mbunge
5. mkurugenzi
6. mkuu wa wilaya.
7. mkuu wa mkoa.
8. waziri.
9. waziri mkuu
10. Rais.
11. na wengine wengi katika idara zilizopo...

Nani kashindwa kutimiza wajibu wake ili kuwasaidia wananchi hawa kati ya hao hapo juu?

Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog