Home » »

Kortini kwa Kulawiti Mtoto


MKAZI wa Mbezi Beach   Dar es Salaam, Tuntutye Mwasyete (25), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni akikabiliwa na tuhuma za kumlawiti mtoto (jina limehifadhiwa) mwenye umri wa mwaka mmoja.
 
Mbele ya Hakimu, Lilian Rutehangwa, Wakili wa Serikali Masini Musa alidai   kwamba tukio hilo lilitokea Mei 14 mwaka huu  huko Kawe.
 
Mtuhumiwa alikana shtaka hilo na  alirejeshwa mahabusu   hadi Juni 24 mwaka huu yatakaposomwa  maelezo ya awali
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog