Kortini kwa Kulawiti Mtoto
MKAZI
wa Mbezi Beach Dar es Salaam, Tuntutye Mwasyete (25), amefikishwa
katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni akikabiliwa na tuhuma za
kumlawiti mtoto (jina limehifadhiwa) mwenye umri wa mwaka mmoja.
Mbele
ya Hakimu, Lilian Rutehangwa, Wakili wa Serikali Masini Musa alidai
kwamba tukio hilo lilitokea Mei 14 mwaka huu huko Kawe.
0 comments:
Post a Comment