Kama unapenda kusikia kutoka kwa January Makamba usipitwe na hii Jumapili June 07 2015 Mlimani City Dar.
Mbunge wa Bumbuli, Tanga na Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, January Makamba
nae ni mmoja wa walioingia kwenye headlines kwamba na yeye ameingia
kwenye list ya wagombea wa CCM kwenye nafasi ya Urais wa Tanzania.
Taarifa nyingine iliyonifikia ni kwamba
Naibu Waziri huyo nae ataongea na Watanzania kuhusu hatma ya Uongozi wa
Tanzania, itakua ndio nafasi yake kutangaza nia kugombea Urais?
Majibu tutayapata siku hiyo Jumapili June 07 2015 ambapo mazungumzo hayo yatarushwa Live kutoka Mlimani City Dar kupitia TV na Radio ikiwemo Clouds FM.
0 comments:
Post a Comment