Home » »

Al Shabaab wazua mjadala Kenya


Mashambulizi ya mara kwa mara ya wapiganaji wa Al Shaabab nchini Kenya katika Eneo la Kaskazini Mashariki, linalopakana na Somalia, limezusha mjadala mkali miongoni mwa viongozi wa eneo hilo.
Kuna wale wanaotaka wanajeshi wa Kenya wajiondoe nchini Somalia kama njia ya kupunguza mashambulizi hayo lakini kuna wanaopinga.
Mwandishi wetu wa eneo la Kaskazini Mashariki, Bashakas Jugosday amezungumza na Mbunge wa Ijara, Ibrahim Abass, ambapo ameanza kueleza jinsi mashambulizi ya Al Shaabab yalivyoongezeka tangu majeshi ya Kenya kuingia Somalia.
        chanzo bbc swahili
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog