Hotuba ya Mh. Steven Wassira Aliyoitoa Leo Jijini Mwanza Wakati Akitangaza Nia ya Kugombea Urais wa Tanzania Kupitia CCM.
- Nianze
kwa kutoa shukrani kwenu wote mlioacha shughuli zenu ili kuja hapa
kunisikiliza. Kuja kwenu hapa kwa wingi ni ishara ya imani mliyonayo
kwangu, Nawashukuru sana
- Kwa
zaidi ya mwaka mzima, kumekuwepo na miningo’no kuhusu uwezekano
wangu kugombea urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Aidha
kutokana na mijadala ya wananchi au kupitia mitandao ya kijamii au
vyombo rasmi vya habari, mining’ono hiyo imefanya baadhi ya watu
wanifuate ili wanishauri nigombee na wengine wamenipigia simu kwa
kunishawishi nisisite kugombea
- Leo, nakuja hapa Mwanza kuvunja ukimya na kumaliza minong’ono kwa kutangaza rasmi kwamba nimekata shauri kugombea nafasi ya urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
0 comments:
Post a Comment