Magazeti ya leo Alhamisi September 25 2014

.
.
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za mbele za magazeti ya leo.

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
DSC03491
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
IRINGA MOTO KUWAKA KESHO KATIKA UKUMBI WA HIGHLAND HALL KWENYE UZINDUZI WA ALBAMU YA POKEA SIFA BWANA YA YUSUFU NGALOWOKA.
hapa akiwa amepozi na kipenzi chake  yaani mama watoto


yusuphu ngaloka family


Kwa mara ya kwanza wakazi wa iringa siku ya kesho wanatarajia kupata burudani ya aina yake kwenye uzinduzi wa mwimbaji mahili wa mziki wa injili na mwandaaji yusuphu ngalowoka utakao fanyika katika ukumbi wa highland hall uliopo manispaa ya mungu 
 uzinduzi huo ambao umeratibiwa na mwenyekiti wa maandalizi bi veronica james meneja wa hospitali ya aghakhani iliyopo manispaa ya iringa utakuwa wa aina yake kwani ni kwa mara ya kwanza kwa waimbaji hao kuandaa tamasha bila kuwahusisha waimbaji wakubwa wa injili kutoka mikoa ya nje na iringa.
katika uzinduzi huo utakahudhuliwa na kwaya mbalimbali na waimbaji binafsi mgeni rsmi atakuwa ni mahamudu  madenge kada wa chama cha mapinduzi mkoa wa iringa

gospel za iringa itakuletea matukio ya tukio lote kwa ujumla........

MWANAMKE Jane Bhoke (27) amefariki dunia nyumbani kwa hawara yake.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Mary Nzuki alisema kifo hicho kilitokea juzi saa 12 jioni eneo la Zingiziwa Chanika wilayani Ilala.

Kamanda Nzuki alisema mtoa taarifa, Mohamed Kambi (44) mkazi eneo hilo alieleza kwamba alikutana na marehemu Septemba 12 mwaka huu katika kilabu cha pombe za kienyeji huko Chanika.

Kambi alisema baada ya kukubaliana walianza kuishi kama mke na mume na huku akibainisha kwamba walifanya mapenzi mara mbili.

“Septemba 15 saa 11 jioni mtoa taarifa na marehemu walikwenda magengeni kununua mahitaji ghafla marehemu alianguka akawa analalamika mguu wa kulia unamuuma… katika harakati za kupunguza maumivu alimeza dawa aina ya diclopa,” alisema kamanda.

Alisema hali ya mgonjwa haikubadilika na ilipofika Septemba 16 saa 10 jioni alifariki dunia huku akibainisha kwamba haifahamiki marehemu ni mkazi wa wap
         SOMA VICHWA VYA MAGAZETI HAPA YA LEO SEPT 20


.
.
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za mbele za magazeti ya leo.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog