OVERCOMERS RADIO WAGAWA ZAWADI MBALIMBALI KWA WASHINDI WA KADI

Salamu ni nusu ya kuonana na ni sehemu ya kujenga undungu hayo ni maneno ambayo yameelezwa leo katika kituo cha redio overcomers leo ambapo wadau mbalimbli wamepokea zawadi kwa ajili ya kuonyesha upendo wa kweli kwao
                                      Wanasalamu wakiwa studio tayari kwa mahojiano

                                 mzee wa m pesa akipongezwa na meneja wa kituo
manyanya zakaria wa mbele akiwa na wadau wa salamu

Denis nyali akipokea baraka kutoka kwa mzee wa m pesa

 meneja kyunga akimpongeza afande frank kutoka kituo cha polisi ismani mmoja kati ya washindi
mwenyekiti wa amani salamu club akiwa katika pozi

IGIZO LA YESU LATIKISA JIJI LA LONDON KWA MARA NYINGINE

IGIZO LA YESU LATIKISA JIJI LA LONDON KWA MARA NYINGINE

Maelfu ya wakazi wa jiji la London nchini Uingereza pamoja na wageni wake hapo jana walifurika katika eneo la wazi maarufu katikati ya jiji hilo la Trafalgar Square kushuhudia igizo la Yesu ambalo hufanyika takribani kila Ijumaa kuu ya kila mwaka katika eneo hilo tangu mwaka 2010, ili kukumbuka mateso aliyopata mkombozi wa ulimwengu Yesu Kristo miaka 2000 iliyopita.
Igizo hilo lililoandaliwa na kuongozwa na Peter Hutley OBE KSG huku kinara mwigizaji katika nafasi ya Yesu akiwa ni bwana James(jina moja tu ambalo GK iliambulia kulipata kutoka kwa mwigizaji mwenyewe). Ambapo muonekano wake hana tofauti na mwigizaji mkongwe katika sinema ya Yesu (Jesus) Brian Deacon, watu waliohudhuria eneo hilo walionekana kwenda sambasamba na waigizaji kwakuonyesha hisia zapo kulingana na uigizaji wa wahusika.
 
 
 






 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 

THISDASO MKWAWA WAFANYA KWELI KATIKA UZINDUZI WA ALBAMU YAO YA PICHA YA 'SIKIA SAUTI

Jumapili ya iliyopita kwa ya ya wasabato wa chuo kikuu  mkwawa waliweza kuszindua albamu yao ya kuona ya inayokwenda kwa jina la sikia sauti uzinduzihuo uliofanyika katika ukumbi wa chuo cha mt. agustino ruco mjini iringa.
  hapa ni kundi la baadhi ya kwaya zilizohudhuria katika uzinduzi huo
                                   kwaya ya mt. benedeta kutoka mkwawa wakiimba
                                          sda tumaini gangilonga wakiimba kwa pamoja

IRINGA HOLLY SEARCH IMEANZA RASMI LEO 16MARCH KATIKA UKUMBI WA TUCTA

             Bi.kanzinyolo pichani akisisitiza jambo kwa washiriki
mwavita bernadi akishusha  upako naye pia ni miongoni mwa washiriki wa mashindano hayo

philipo kutoka bongo fleva hadi kwenye gospel


Hatmaye ule mtanange wa kusaka vipaji yaani iringa holly star search umeendelea leo katika ukumbi wa tucta katika manispaa ya iringa huku kila mshiriki akionesha hamu ya kuwa mshindi

Wakizungumza na mtandao huu baadhi ya washiriki wamesema kuwa kwa sasa wameanza kutambua nini wanachokifanya  kutokana na ushindani kuendelea kuwa mkubwa zaidi,
Kwa upande wa mwandaaji wa mashindano hayo bi. kazi nyolo amesema kuwa washiriki lazima wahakikishe kuwa wanakuwa makini kwani siku zilizobaki ni chache sana.

BON MWAITEGE NAFURAHI KUWA NA MATUNDA YANGU

  



Mwimbaji wa nyimbo za injili bon mwaitege amesemakuwa hana ugomvi na waimbaji chipukizi wanaotamani kuwa kama yeye katika huduma ya uimbaji.

Akizungumza na overcomers fm katika kipind cha overcomers show kinachoendeshwa na mtangazaji denis nyali katika kipengele cha  ;Tripple stage;  bon amesema´’mimi nashukuru kama kuna watu wananikubali na kufanya kama mimi na hatakama watafanya vizuri kwangu itakuwa ni furaha kwani yatakuwa ni matunda yangu,unajua mtangazaji mziki hauna mwenye nao kwa sababu majitaa yanayotumika ni yaleyale na vinanda ni vilevile kwa hiyo kuigana kwa beat au wimbo ni kitu ambacho hakiwezikukwepeka mbona watu wanaiga sauti za watu mbalimbali kama vile kikwete nyerere na viongozi wengine kwahiyo mimi watu kuniiga namshukuru mungu kwa hilo pia,;  alisema bon

Hata hivyo mwaitege amewaomba wapenzi wa mziki wa injili kuwa wengi wanasema yupo kimya lakini anajipanga kuja kivingine na anatarajia mwezi wa tano au wa sita kuachia albam yake ya tatu huku albam yake ya mama ni mama na utanitambuaje zikiendelea bado kufanya vizuri.

HOLLY GOSPEL SEARCH IRINGA KUMEKUCHA

mchakato wa kutafuta vipaji katika mkoa wa iringa maalufu kama holly search umeanza leo huku washiriki wakiwa na hamu kubwa ya kuwania zawadi mbalimbali kama vile kurekodi albamu pamoja na singo au wimbo mmoja

 zifuatazo ni baadhi ya picha za washiriki katika holly gospel search iringa












                                             

                                               
                                       jane kalinga akisikiliza kwa makini maneno kutoka kwa majaji hawapo pichani
                                                     Opeki Peter akimsifu Mungu
                             Daudi akiimba kwa hisia wakati wa ufunguzi wa shindano hilo



      denis nyali

  Katika kuhakikisha vijana wanasaidiwa kutoka katika hali duni za kimaisha mkurugenzi wa jesus my life band bi.kazinyolo ameandaa mashindano maalumu ya kutafuta vipaji ambayo yameanza leo kwa usail na kuanza lasmi ni tare 16march 2013 ambapo zaidi ya vijana 30 wamejitokeza kuwania nafasi mbali mbali siku ya leo

 Akizungumza na mtandao huu amesema kuwa lengo la kuandaa shindano hilo sio kuibua vipaji pekee bali ni kuwafanya vijana waweze kuhubiri zaidi kupitia uimbaji kwani kuna shuhuda mbalimbali ambazo zimekuwa zikitolewa kuhusu watu kuokolewa kwa njia  ya uimbaji

kwa upande wa washiriki wamemshukuru mkurugenzi huyo kwa kutambua kuwa kuna watu wamesahaulika na kujiingiza katika matendo maovu  ambayo yangesababisha kuongezeka kwa maambukizi ya vvu
 
mashindano hayo yanatarajia kuenderea jumamosi ijayo tare 16.march 2013

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog