Home » »

'BABU' ANELKA ASAINI TIMU YA INDIA, MWENYEWE AMEFURAHI KINOMA

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Real Madrid na Chelsea, Nicolas Anelka ametangaza kujiunga na Mumbai City ya Ligi Kuu ya India.
Imeripotiwa kwamba mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 35, ambaye amekuwa hana timu tangu aondoke West Brom Machi mwaka huu, amekubali mkataba wa muda mfupi na timu ya ISL inayofundishwa na Peter Reid.
"Ninayo furaha kujiunga na Mumbai City FC na nimevutiwa sana kujiunga na Ligi Kuu ya India," ameandika Anelka kwenye akaunti yake ya Twitter.

Nicolas Anelka amekuwa hana timu tangu ameondoka West Brom Machi mwaka huu
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog