KONGAMANO LA UVUVIO AFRIKA 2013
Tarehe 31 inajongea, na ndio mwisho wa kulipia gharama za kadhaa za
kukuwezesha ushiriki nchini Afrika Kusini, ambapo kwa mwaka huu uvuvio
huu wa siku sita utafanyika huko ukishirikisha viongozi mbalimbali
kutoka makanisa mbalimbali barani Afrika. GK imekufikishia taarifa, kazi
ni kwako.
0 comments:
Post a Comment