Home » »

CHRISTINA SHUSHO ATUMIA MILLIONI 4 KUTENGENEZA VIDEO MOJA, IANGALIE HAPA NA MSIKILIZE AKIELEZA SABABU ZA KUTUMIA GHARAMA HIYO

.
Blogger Ambwene Michael na Christina Shusho.
Kilio changu kila siku waimbaji wa muziki wa injili wabadili uelekeo wao hasa katika kutengeneza video zenye ubora mzuri.Leo nikipiga story na Christina Shusho kupitia Chomoza ya Clouds Tv amefunguka na kueleza wazi gharama ya utengenezaji wa video yake
"Nataka nimjue" ametumia milioni 4 hadi kukamilika.Video hii imetengenezwa na kampuni kubwa nchini Kenya (Link Video Global) chini ya director wa mkubwa J Blessing.Msikilize Christina Shusho akizungumza na mimi na tazama video hiyo.Muziki wa injili nao unahitaji ubora kuanzia utunzi,production ya audio na video kwasababu ndiyo itakayokutangaza kimataifa
Msikilize Christina Shusho akieleza kwa nini ameamua kutumia milioni 4 kutengeneza video moja hapo chini.
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog