Home » »

MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI STELA JOEL SIKU YA JUMAMOSI ALIFUNGA HARUSI NA YERIMO

PICHA ZIMEPIGWA NA RUMAFRICA +255 715851523

Mungu ni mwema na ni Mungu wa vitendo. Baada ya maombezi makali ya kila mtu kumtafuta yule ampendae, Mungu aliweza kujibu kilio cha Stella Joel na mpenzi wake Yerimo kwa kufanikisha ndoa yao iliyofungwa katika kanisa la Pentecostal Holiness Mission Light House Christian Center Ubungo na tafrija kufanyika katika ukumbi wa Mawasiliano Ubungo jijini Dar esa Salaam siku ya jumamosi

UNAWEZA KUWASILIANA NA STELLA JOEL KWA SIMU HII  +255 756 846166
AU +255715 049143


Stella Joel kutoka Bukoba (Mhaya)

Yerimo kutoka Iringa (Mhehe)

Bloga wenu Rulea Sanga aliyehusika ipasavyo kukuletea habari hizi na kupiga picha

MATUKIO KATIKA PICHA
SEHEMU YA KWANZA

WAKIANDAA SURA ZAO NA MAVAZI YAO



STELLA JOEL AKIELEKEA KANISANI AKITOKEA SALOON

Mwimbaji wa nyimbo za injili Madam Rutiu ndiye aliyekuwa dereva wa Bwana na Bibi Harusi
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog