MAELFU WAJITOKEZA KUFANYA MAOMBI YA TOBA KWA TAIFA JIJINI ARUSHA HII LEO
Kati ya vitu ambavyo vimeonekana kuwagusa watu wengi ni kitendo cha baadhi yao kuamua kuvaa magunia na kumlilia Mungu ili apate kulisamehe taifa, serikali na watu wake, ambapo licha ya watu hao pia wachungaji kutoka makanisa mbalimbali mkoani hapo wanashiriki maombi hayo ya toba huku jeshi la polisi likiwa limeimarisha ulinzi uwanjani hapo.
0 comments:
Post a Comment