Home » » WATANZANIA NI WAKATI WA KUOMBA

WATANZANIA NI WAKATI WA KUOMBA

MAELFU WAJITOKEZA KUFANYA MAOMBI YA TOBA KWA TAIFA JIJINI ARUSHA HII LEO

Maelfu ya wakazi wa jijini Arusha, wamekusanyika siku ya leo katika uwanja wa mpira wa Sheikh Amri Abed Karume jijini humo kwa ajili ya kufanya maombi ya toba kwa ajili ya taifa, maombi hayo ambayo yameratibiwa na makanisa mbalimbali mkoani humo yamevuta umauti huo ambao umeweka rekodi kwa tukio kama hilo.

Kati ya vitu ambavyo vimeonekana kuwagusa watu wengi ni kitendo cha baadhi yao kuamua kuvaa magunia na kumlilia Mungu ili apate kulisamehe taifa, serikali na watu wake, ambapo licha ya watu hao pia wachungaji kutoka makanisa mbalimbali mkoani hapo wanashiriki maombi hayo ya toba huku jeshi la polisi likiwa limeimarisha ulinzi uwanjani hapo.
















Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog