Home » »

MAELFU WAFURIKA UWANJA WA SAMORA KUSHUHUDIA UZINDUZI WA DVD YA MASANJA

Uzinduzi wa DVD na VCD ''Hakuna Jipya'' ya mwimbaji wa muziki wa gospel nchini ambaye pia ni mchekeshaji wa kundi la Original Komedi Masanja Mkandamizaji, umehudhuriwa na maelfu ya wakazi wa mkoa wa Iringa pamoja na waigizaji mashuhuri nchini ambao nao walileta mvuto wa kipekee katika uzinduzi huo.
                         HAPA ANGALIA PICHA MBALIMBALI ZA UZINDUZI HUO
Sehemu ya umati wa watu waliofika katika uzinduzi huo uwanja wa Samora mkoani Iringa.
Martha Mwaipaja akimsifu Mungu.
Martha Baraka akimsifu Mungu.
Martha Baraka akiyarudi kwa Yesu na kundi lake.
IKAFIKA ZAMU YA MASANJA NA KUNDI LAKE WAKAINGIA KWA MWENDO WA JESHI
Baadhi ya watu waliohudhuria uzinduzi.
Masanja akisoma risala kwa mgeni rasmi, komedi kama kazi huku pacha wake Silas Mbise nyuma yake akimsikiliza na kumwaga tabasamu la mbali.
Taratibu za uzinduzi zikiwa zinafanyika.
Naibu waziri wa Elimu mh. Milugo akizindua DVD na VCD ya ''Hakuna Jipya''
Mgeni rasmi mh. Mulugo akizungumza mara baada ya kuzindua huku wabunge wa viti maalumu na viongozi wengine akiwemo mkuu wa mkoa wa Iringa wakimsikiliza.
JB akimsapoti Masanja kwa kununua DVD kwenye tamasha hilo.
Steve Nyerere akiendelea na utambulisho kwa waigizaji wenzake wa bongo movie.
Vincent Kigosi a.k.a Ray akiwasalimia watu waliofika katika uzinduzi huo.
Timu nzima ya Bongo Movie wakiwa bado jukwaani, Steve Nyerere akizungumza.
Baadhi ya watu waliohudhuria uzinduzi huo wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri jukwaani.
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog