Home » » SIKU SABA YA MIUJIZA KITANZINI KWA YESU MIAKA KUMI YA MAVUNO

SIKU SABA YA MIUJIZA KITANZINI KWA YESU MIAKA KUMI YA MAVUNO


mwalimu isaka fungo kutoka kanisa la corner stone church TAG


kundi la kusifu na kuabudu wakienderea na ibada ya kusifu
mama mchungaji wa kanisa  hilo mama msea kushoto akiwa na baadhi ya waumini
mchungaji philip msea  kushoto akiwa pamoja na mhubiri wa mkutano huo

 baadhi ya waumini walio hudhuria katika mkutano huo wakiwa makini kusikiliza neno la mungu
Mwinjilisti stanley Nganyangwa akiomba katika mkutano huo






hii leo ikiwa ni siku yatatu tangu kuanza mkutatano wa injili katika mtaa wa kitainzini  manispaa ya Iringa mamia ya watu wameenderea kujitokeza katika mkutano huo ambao umeandaliwa na kanisa la TAG manispaaya linalo ongozwa na mchungaji Philip msea  ambapo mhubiri katika mkutano huo ni mwinjilisti Stanley nganyangwa kutoka chuo kikuu cha ruaha mjini IRINGA
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog