Home » »

FAUSTIN MUNISHI (MALEBO) APANIA KUGOMBEA URAISI TANZANIA



''Mimi mchungaji Faustin Munishi. Natamka kwamba Nitagombea Urais Tanzania bila chama cha kisiasa. Nitakuwa Mgombea Huru bila siasa. Nitakapokuwa Rais Nitagawana madaraka na Jeshi, pia wadau wote hasa wapiga kura. Ukiritimba wa CCM kutumia madaraka vibaya utakuwa kwenye kaburi la sahau.

EE MUNGU NISAIDIE NIONGOZE TANZANIA. NIPE HEKIMA NIJUWE JINSI YA KUWAONGOZA WATU WAKO WALIO WENGI TANZANIA. AMEN.”
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog