KWAYA YA AIC UNJILISTI PASIANSI MWANZA WAZINDUA ALBAMU YAO YA TUHURUMIE KWA KISHINDO.
Kwaya Aic Vijana kutoka Pasiansi. |
![]() |
Umati mkubwa wa watu waliohudhuria katika uzinduzi huo. |
![]() |
Aic Vijana Kwaya Bwiru. |
![]() |
Mgeni rasmi bwana Eng. Robert Lupoja pamoja na mkewe Mrs Lupoja na Mr. Benjamin Kijika wakiangalia jinsi waimbaji wanavyomtukuza Mungu kwa uimbaji wao mzuri. |
![]() |
Kwaya ya Aic Maswa kutoka Mandu Igoma Mwanza. |
![]() |
Aic Mwananchi kwaya. |
![]() |
Aic Uinjilisti Pasiansi Kwaya wakiimba wakti wakizindua albam yao ya Tuhurumie. |
![]() |
Haya ndo makeke yao utayapenda mwenyewe. |
![]() |
Radio Presenter wa Kwaneema Fm Maria Philbert naye alikuwa shuhuda wa kile kizuri ambacho kilitendeka jana kwenye uzinduzi. |
![]() |
Hapa wakiimba wimbo wa albam Tuhurumie. |
![]() |
Halaiki ya watu wakiangalia yale mazuri uwanjani hapo jana. |
![]() |
Mwali akizinduliwa mbele ya kadamnasi. |
![]() |
Eagt Uinjilisti Kwaya nao wakipata flsh huku wakiwa wamekaa wakiwatch shughuli nzima. |
![]() |
Msamaria KKKT Kwaya kutoka Pasiansi. |
![]() |
Aic Kiloleli wana wa tikisa wakiwa jukwaani. |
![]() |
Mwonekano wa nyuma wa cover. |
![]() | |||
Mwonekano wa mbele. |
0 comments:
Post a Comment