KWAYA YA AIC UNJILISTI PASIANSI MWANZA WAZINDUA ALBAMU YAO YA TUHURUMIE KWA KISHINDO.
| Kwaya Aic Vijana kutoka Pasiansi. |
![]() |
| Umati mkubwa wa watu waliohudhuria katika uzinduzi huo. |
![]() |
| Aic Vijana Kwaya Bwiru. |
![]() |
| Mgeni rasmi bwana Eng. Robert Lupoja pamoja na mkewe Mrs Lupoja na Mr. Benjamin Kijika wakiangalia jinsi waimbaji wanavyomtukuza Mungu kwa uimbaji wao mzuri. |
![]() |
| Kwaya ya Aic Maswa kutoka Mandu Igoma Mwanza. |
![]() |
| Aic Mwananchi kwaya. |
![]() |
| Aic Uinjilisti Pasiansi Kwaya wakiimba wakti wakizindua albam yao ya Tuhurumie. |
![]() |
| Haya ndo makeke yao utayapenda mwenyewe. |
![]() |
| Radio Presenter wa Kwaneema Fm Maria Philbert naye alikuwa shuhuda wa kile kizuri ambacho kilitendeka jana kwenye uzinduzi. |
![]() |
| Hapa wakiimba wimbo wa albam Tuhurumie. |
![]() |
| Halaiki ya watu wakiangalia yale mazuri uwanjani hapo jana. |
![]() |
| Mwali akizinduliwa mbele ya kadamnasi. |
![]() |
| Eagt Uinjilisti Kwaya nao wakipata flsh huku wakiwa wamekaa wakiwatch shughuli nzima. |
![]() |
| Msamaria KKKT Kwaya kutoka Pasiansi. |
![]() |
| Aic Kiloleli wana wa tikisa wakiwa jukwaani. |
![]() |
| Mwonekano wa nyuma wa cover. |
![]() | |||
| Mwonekano wa mbele. |

















0 comments:
Post a Comment