Home » »

KWAYA YA AIC UNJILISTI PASIANSI MWANZA WAZINDUA ALBAMU YAO YA TUHURUMIE KWA KISHINDO.

Category : 0
Kwaya Aic Vijana kutoka Pasiansi.
Umati mkubwa wa watu waliohudhuria katika uzinduzi huo.


Aic Vijana Kwaya Bwiru.

Mgeni rasmi bwana Eng. Robert Lupoja pamoja na mkewe Mrs Lupoja na Mr. Benjamin Kijika wakiangalia jinsi waimbaji wanavyomtukuza Mungu kwa uimbaji wao mzuri.

Kwaya ya Aic Maswa kutoka Mandu Igoma Mwanza.

Aic Mwananchi kwaya.

Aic Uinjilisti Pasiansi Kwaya wakiimba wakti wakizindua albam yao ya Tuhurumie.

Haya ndo makeke yao utayapenda mwenyewe.

Radio Presenter wa Kwaneema Fm Maria Philbert naye alikuwa shuhuda wa kile kizuri ambacho kilitendeka jana kwenye uzinduzi.

Hapa wakiimba wimbo wa albam Tuhurumie.

Halaiki ya watu wakiangalia yale mazuri uwanjani hapo jana.

Mwali akizinduliwa mbele ya kadamnasi.

Eagt Uinjilisti Kwaya nao wakipata flsh huku wakiwa wamekaa wakiwatch shughuli nzima.

Msamaria KKKT Kwaya kutoka Pasiansi.

Aic Kiloleli wana wa tikisa wakiwa jukwaani.

Mwonekano wa nyuma wa cover.

Mwonekano wa mbele.


Kwaya ya Aic Unjilisti jumapili waliweza kuzindua albam yao ya video kwa kishindo huku wakiwa wamepata takribani 5..9 milioni wakiwa na malengo wa kutafuta milioni 50 kwa ajili ya ununuzi wa coaster, uwanja wa kujenga hosteli ya wageni pamoja na vyombo vya muziki. Mungu ibariki kazi yao AMEN.
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog