Home » »

Kundi la Ambassadors of Christ Choir kutoka kanisa la wasabato Remera jijini Kigali nchini Rwanda, linategemea kuingia nchini Kenya kwa mara nyingine mwaka huu ikiwa ni mwaliko wa kwenda kushiriki kambi za kikristo zinazoandaliwa na kanisa hilo katika nchi mbalimbali.

Kwa mujibu wa taarifa ambazo GK imezipata ni kwamba kwaya hiyo itakuwa nchini Kenya kuanzia July 26 hadi 30 mwaka huu huko Migori eneo la Awendo. Itakuwa mara ya pili kwa kwaya kwa mwaka huu kufanya huduma nchini Kenya ambapo walikuwa huko mapema mwezi wa tano, kwasasa kwaya hiyo inatamba na album mpya waliyoitoa mapema mwezi uliopita walipotembelea nchini.
Baadhi ya waimbaji wa Ambassadors of Christ wakimsifu Mungu.
Baadhi ya wakaka wa Ambassadors of Christ wakishambulia jukwaa walipotembelea jijini Dar es salaam.
Warren katikati na waimbaji wenzake wa Ambassadors of Christ Rwanda, Warren(mtanzania) amekuwa mmoja wa waimbaji wa kundi hilo kutokana na ukaribu wake na waimbaji wa kundi hilo la Rwanda.picha kwa hisani ya Warren
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog