Home » »

Kundi la wapiganaji la Islamic State limetoa taarifa kusema kuwa lilifanya mashambulio ya mjini Paris Ijumaa usiku ambapo watu kama 127 waliuwawa.
Rais Hollande ameelezea mashambulio hayo kuwa kitendo cha vita vilivotangazwa na IS ambao alisema walipata msaada kutoka ndWanaume wanane waliovaa vizibau vyenye mabomu walikufa kwenye mashambulio hayo katika sehemu sita mbalimbali za mji mkuu wa Ufaransa.

Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog