Home » » Matatu niliyoyapata kwenye hukumu ya Sheikh Ponda Morogoro leo…

Matatu niliyoyapata kwenye hukumu ya Sheikh Ponda Morogoro leo…

Hii taarifa tayari imeripotiwa mitandaoni na kwenye vyombo vingi vya habari kutoka Mkoa wa Morogoro ambapo inahusu kutolewa kwa hukumu ya Sheikh Issa Ponda ambaye ameachiwa huru baada ya kukutwa hana hatia.
Sheikh Issa Ponda alishtakiwa kwa makosa matatu ikiwemo kukiuka amri ya Mahakama kufanya mkusanyiko pamoja na kutoa maneno ya uchochezi… Mawakili wa Sheikh Issa Ponda wamesema waliamini haki itatendeka japo imechelewa.
Baada ya hukumu hiyo, Sheikh Ponda aliondoka kuelekea kwenye Msikiti wa ‘MUNGU Mmoja Dini Moja‘ uliopo Morogoro kwa ajili ya kuongea na waumini wake.
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog