Home » » Abiria wamepona kwenye ajali ya ndege na bado wanafungua na kesi ya ajali..

Abiria wamepona kwenye ajali ya ndege na bado wanafungua na kesi ya ajali..


Ikitokea unakuwa sehemu ya watu walionusurika kwenye ajali, jambo kubwa ambalo wengi wanaanza nalo ni kumshukuru MUNGU kwa kutoka salama !!
Kama uko karibu na headlines za stori za kimataifa najua utakumbuka ile ajali ya ndege ya British Airways iliyotokea uwanja wa ndege  Las Vegas Marekani wakati ndege ikijiandaa kupaa.
Taarifa nyingine toka Chicago Marekani inahusu kesi ambayo imefunguliwa kuzishtaki Kampuni mbili, GE Aviation watengenezaji wa engine ya ndege iliyopata ajali, pamoja na Boeing Company ambao ndio watengezaji wa ndege yenyewe.
777 Everett Factory K65682-02
Abiria hao 65 waliofungua kesi hiyo wamesema wanazishtaki Kampuni hizo kwa sababu walipata misukosuko wakati wa ajali hiyo ambayo ndege waliyopanda ililipuka na kushika moto kwenye engine yake moja wakati ikiwa kwenye njia ya kurukia ndege uwanja wa McCarran International Airport, September 8 2015.
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog