Home » » Hakitupwi kitu hapa !!… zile chupa unaziona takataka, Nigeria wamejengea mpaka nyumba.. (+Pichaz)

Hakitupwi kitu hapa !!… zile chupa unaziona takataka, Nigeria wamejengea mpaka nyumba.. (+Pichaz)


Maisha yanabadilika kila siku, zamani ilikuwa ukikutana na chupa au makopo ya maji au juice unayaona takataka… sasahivi ni dili na watu wameweka nguvu zao kabisa kukusanya makopo na kuyauza !!
Nigeria wamefanya kitu kingine zaidi mtu wangu, umewahi kuona nyumba za makopo??!! Nigeria wamefanya kitu hicho, wamejenga nyumba kwa makopo ambapo ndani ya makopo hayo kumejazwa mchanga halafu makopo yanapangwa vizuri kabisa mpaka inakuwa nyumba ya kuishi.
House3
Sifa nyingine kubwa za hizi nyumba ni kwamba zina uwezo wa kuzuia risasi na pia zinaweza kuzuia moto.
Naija
Kazi ya ujenzi inaendelea namna hii, hatua kwa hatua!!
House4 House6 House7 House8
Unaweza kuwa na swali kwamba chupa kiasi gani au chupa ngapi zinatosha kukamilisha mjengo??!! Jibu lake ni hili hapa, kama unahitaji nyumba ya vyumba viwili inatakiwa kuwepo na chupa 14,000… Umevutiwa na ujenzi wa aina hii mtu wangu ???
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog