Home » » Marehemu Mawazo alivyoagwa na wana-CHADEMA Mwanza leo.. (Picha) #RIP

Marehemu Mawazo alivyoagwa na wana-CHADEMA Mwanza leo.. (Picha) #RIP

\

Taarifa iliyotolewa jana na viongozi wa CHADEMA Mwanza ilielekeza utaratibu wa siku tatu mfululizo mpaka mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Geita, Marehemu Alphonce Mawazo.
Leo kuanzia asubuhi taratibu zilianza kwa kuutoa mwili wa Marehemu Hospitali, wakaelekea viwanja vya Furahisha vilivyopo katikati ya Mwanza kwa ajili ya shughuli za kumuaga marehemu ambapo viongozi mbalimbali wa CHADEMA wamewaongoza wanaCHADEMA waliokusanyika katika viwanja hivyo kumuaga marehemu.
Hapa ninazo picha za tukio lote.
index IX
Mzee Edward Lowassa
index VI
Mbunge wa Jimbo la Hai, Freeman Mbowe
index X
Mzee Frederick Sumaye
index XI
Salum Mwalimu
index XXXX
Mtoto wa marehemu Mawazo.
index III index VIII index VVXX index XII index XIII index XV index XX index XXI index XXIII index XXIV index XXV index XXVV index XXXXVV index XXXXXCC index
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog