Home » » Maneno ya kwanza ya Waziri Mkuu Majaliwa Kassim baada ya Bunge kumthibitisha.. (+Video)

Maneno ya kwanza ya Waziri Mkuu Majaliwa Kassim baada ya Bunge kumthibitisha.. (+Video)

Kikao cha Bunge kwa leo November 19 2015 kimemalizana na kile ambacho kilikuwepo kwenye Ratiba ya Bunge… kwanza ilikuwa ni kutajwa jina la Waziri Mkuu pamoja na kumthibitisha, hilo limekamilika… kingine ilikuwa kumchagua na kumwapisha Naibu Spika wa Bunge, nalo limefanyika.
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog