Home » » Alshabaab lawaua wanajeshi 13 Somalia

Alshabaab lawaua wanajeshi 13 Somalia

Wapiganaji wa kundi la Al-Shabab nchini Somali, wameshambulia kambi yenye chuo cha wanajeshi kusini mwa nchi na kuwauwa wanajeshi 13.
Wanajeshi wa Somalia walipambana na washambuliaji hao kwa saa tatu, na wameweza kuilinda kambi,karibu na mji wa Kismayo, wenye bandari.
Wanajeshi 7 walijeruhiwa na wapiganaji 10 waliuwawa.
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog