Home » » MATUKIO HAYA MPAKA LINI JAMANI!!!!!!!!!!!!

MATUKIO HAYA MPAKA LINI JAMANI!!!!!!!!!!!!




Mwanamke mmoja mkazi wa kata ya mlandege manispaa ya Iringa aliyejulikana kwa jina la  ANNA MOLEO mwenye umri wa miaka 23,amemtupa mtoto mchanga chooni.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kaimu kamanda wa polisi mkoani hapa PRUDENSIANA PROTASI amesema kuwa tukio hilo lilitokea tarehe 09/02/2015 majira ya saa saba mchana.

Kaimu kamanda amesema kuwa  chanzo cha tukio hilo ni ugumu wa maisha  na mtuhumiwa amekamatwa.
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog