Home » » BREAKING NEWS IRINGA VYUMBA 12 VYA SHULE YA SEKONDARI IDODI VYATEKETEA KWA MOTO NA VITU VYOTE VILIVYOMO NDANI

BREAKING NEWS IRINGA VYUMBA 12 VYA SHULE YA SEKONDARI IDODI VYATEKETEA KWA MOTO NA VITU VYOTE VILIVYOMO NDANI





Janga la moto limeendelea kuikumba shule ya sekondari ya idodi baada ya hii leo moto kuzuka na kuunguza vyumba kumi na mbili na kuteketeza nguo mashuka manranka na kuwaacha wanafunzi wakibaki na nguo walizokuwa wamevaa tu,

Akizungumza na mtandao huu mwalimu mkuu wa shule hiyo Christopher mwakamola amesema moto huo ni kama ajali nyinngine na ametoa wito kwa kwa wadau kuweza  kusaidia katika janga hilo kwa msaada wa haraka zaidi 

Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog