HATARI!!!!AUAWA KWA KUKATWA NA JEMBE NA NDUGUYE KISA UGOMVI WA SHAMBA!.
Jeshi la polisi mkoa wa iringa linamshikila mtu mmoj aliyefahamika kwa jina laNaftari kange [20] kwa tuhuma za kumwua ndugu yake Lati gange miaka [40] wote wakazi wa kijiji cha negabihi kata ya magulilwa wilaya ya iringa
tukio hilo limethibitishwa na kaimu kamanda wa polisi mkoa wa iringa pundensiana protas,
0 comments:
Post a Comment