Home »
» UPINZANI WAIPA ‘HEKO’ NEC KWA KUTOA VYETI VYA SHUKRANI
UPINZANI WAIPA ‘HEKO’ NEC KWA KUTOA VYETI VYA SHUKRANI
Posted by Unknown
Posted on 9:39 AM
with No comments
Vyama vya siasa vya upinzani
vimeipongeza tume ya taifa ya uchaguzi kwa hatua yake ya hivi karibuni
ya kutoa vyeti vya shukrani kwa vyama vya siasa vilivyoshiriki uchaguzi
mkuu wa mwaka jana hapa nchini na kuelezea hatua hiyo ni mwanzo mzuri wa
kuaminiana na vyama vya siasa.
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula
0 comments:
Post a Comment