Home »
» SERIKALI YASISITIZA KUTOA MILIONI 50 KWA KILA KIJIJI
SERIKALI YASISITIZA KUTOA MILIONI 50 KWA KILA KIJIJI
Posted by Unknown
Posted on 9:26 AM
with No comments
Akizungumza Bungeni Mjini Dodoma, Waziri wa nchini Sera, Uratibu na Bunge; Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu, Jenista Muhagama, amesema fedha hizo zitatolewa kwa kila Mtanzania bila kujali itikadi ya Vyama kama habari ambazo zinasaambaa sasa kuwa watagawiwa wanachama wa CCM, pekee.
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula
0 comments:
Post a Comment