Home » » AINA ZA WASICHANA, TABIA ZAO KIMAUMBILE KATIKA MAPENZI

AINA ZA WASICHANA, TABIA ZAO KIMAUMBILE KATIKA MAPENZI



Inasemekana wadada wana tabia tofauti katika mapenzi kulingana na maumbo ya miili yao; karibu Mtembezini uelewe kwa kwa kina vitu vinavyoweza kukusaidia kutambua tabia za watu husika.

1.Wasichana wafupi wanaongoza kwa wivu wa mapenzi na kuwajali wapenzi wao

2. Wasichana warefu huwa hawawajali wapenzi wao na hawaogopi mahusiano kuvunjia hawajui kubembeleza hata kidogo.

3. Wasichana wenye DIMPOZ, MWANYA, MATEGE MBINUKO, MAHIPS NA KITEMBE, hawa huongoza kwa kutokuwa WAAMINIFU katika mapenzi.

4. Wasichana WANENE huongoza kwa kuwa na MAPENZI YA KWELI yaani akipenda amependa kisawasawa.

5. Wasichana WEMBAMBA hawa huwa ni WABISHI sana na hawa wanaongoza kwa kutendwa!

BLACK WOMANS6.Wasichana wenye NGOZI NYEUSI wanaongoza kwa KUTOA MIMBA na kupenda wanaume warefu na weupe.

7. Wasichana weupe wakiongoza kwa kuzalia nyumbani, na hawa weupe wengi wao huolewa wakiwa na watoto tayari huku wakipenda kuolewa na waarabu kuliko wanaume weusi.

Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog