Home » » List ya Visiwa 10 Bora Duniani 2016 imetoka, Afrika kipo kimoja tu.

List ya Visiwa 10 Bora Duniani 2016 imetoka, Afrika kipo kimoja tu.

Duniani zipo sehemu nzuri na za kuvutia zaidi, maeneo mengi ya visiwani yanawezekana yakaongoza kwa kuvutia kutokana na kuwa na mazingira mazuri ya asili yanayovutia, watu wengi hutumia maeneo haya kwa ajili ya mapumziko na utalii. 
Mtandano wa CNN wametoa hii list ya Top Ten ya visiwa bora zaidi duniani 2016
 10. Fernando de Noronha, Brazil
.
Idadi ya watu wanaoruhusiwa kutembelea fukwe ya Fernando de Noronha ina kiwango 
9. Bora Bora, French Polynesia
.
Fukwe zenye mchanga mweupe na rasi ya bluu ni sababu mbili ambazo zimeifanya Bora Bora kuwa kwenye nafasi ya tisa kwa mwaka wa pili mfululizo
8. Phuket, Thailand
.
.
7. Mauritius, Africa
.
.
6. Mallorca, Spain
.
.
5. Bali, Indonesia
.
Bali ni kati beach nzuri inayojulikana lakini pia ina mfumo wa matuta ya mchele ambayo yanalindwa na UNESCO
4. Providenciales, Turks and Caicos
.
Inajulikana kama ‘Provo’ Providenciales ni kisiwa kilichoendelea  sana.
3. Jamaica, Caribbean
.
Haikuwa kwenye orodha ya Top ten mwaka uliopita lakini sasa imefika hadi nafasi ya tatu
2. Santorini, Greece
.
Kisiwa hiki kina Mabaki ya Volcano iliyolipukia kwenye bahari ya Aegean na ina beach yenye mchanga mweusi
1. Maui, Hawaii
.
kisiwa hiki kina beach nzuri na zenye kuvutia zaidi ya 80
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog