Home » » WAWILI WAFARIKI DUNIA MKOANI IRINGA HUKU MWINGINE AKIJIUA KWA KUJIPIGA RISASI KWA KUTUMIA BASTOLA YAKE.

WAWILI WAFARIKI DUNIA MKOANI IRINGA HUKU MWINGINE AKIJIUA KWA KUJIPIGA RISASI KWA KUTUMIA BASTOLA YAKE.


                    kamanda wa polisi mkoa wa iringa ramadhani mungi.


Watu wawili wamefariki dunia katika matukio mawili  tofauti mkoani Iringa likiwemo la mtembea kwa miguu mmoja kugongwa na gari.
Akithibitisha kutokea kwa ajali hiyo iliyotokea katika eneo la KILIMAHEWA kijiji cha IFUNDA,kamanda wa polisi mkoa wa Iringa ACP RAMADHAN MUNGI amesema ajali hiyo imesababishwa na mwendokasi wa dereva na kusababisha kifo cha mtoto wa miaka 8 alietambulika kwa jina la GOODLUCK MLOWE .
Katika tukio la pili kamanda MUNGI amethibitisha kifo cha mkulima mmoja mkazi wa kijiji cha Nyamahana tarafa ya idodi, aliejiua kwa kujipiga risasi na kwamba chanzo cha kifo bado kinachunguzwa.
 sauti itakujia muda wowote kuanzia sasa.
MWISHO
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog