Home » » Cristiano Ronaldo kazindua movie yake London, Ferguson, Mourinho na Ancelotti ndani (+Pichaz&Video)

Cristiano Ronaldo kazindua movie yake London, Ferguson, Mourinho na Ancelotti ndani (+Pichaz&Video)

Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayekipiga katika klabu ya Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo usiku wa November 9 alifanya uzinduzi rasmi wa movie yake ambayo anataja kuiandaa kwa ajili ya mashabiki wake, Ronaldo kafanya uzinduzi movie yake inayoitwa ‘Ronaldo’ akiwa pamoja na mama yake na mtoto wake Cristiano Ronaldo Junior.
MAIN-Cristiano-Ronaldo-and-Cristiano-Ronaldo-Jr-attend-the-World-Premier-of-Ronaldo
Ronaldo akiwa na mtoto wake Cristiano Ronaldo Junior mwenye umri wa miaka mitano.
Uzinduzi huo uliyofanywa Leicester Square katika jiji la London Uingereza ulihudhuriwa na makocha wa zamani wa staa huyo ambao ni Sir Alex Ferguson, Jose Mourinho na Carlo Ancelotti sambamba na uwepo wa wakala wake Jorges Mendes na mastaa wengine wengi.

2E46BFA800000578-0-image-a-24_1447093849489
Ronaldo akiwa na kocha wake wa zamani wa Man United Sir Alex Ferguson aliyekuwepo katika uzinduzi huo.
Movie hiyo ambayo imechezwa kwa zaidi ya miezi 14 kwa asilimia kubwa inahusisha maisha halisi ya staa huyo ambaye alianzia maisha yake soka katika klabu ya Sporting Lisbon ya kwa Ureno, Ronaldo amefanya uzinduzi huo sambamba na kufanya interview fupi katika red carpet.
2E473B8F00000578-3310775-image-m-160_1447101919037
Cristiano Ronaldo akiwa na mama yake Maria Dolores Aveiro na mtoto wake katika red carpet
Hii ni sehemu ya interview ya Ronaldo katika uzinduzi huo
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog