Home » » MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI EMMANUEL MGOGO KUFUNGA NDOA TARE 14 KATIKA KANISA LA EAGT IYUNGA MBEYA JUMAMOSI IJAYO

MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI EMMANUEL MGOGO KUFUNGA NDOA TARE 14 KATIKA KANISA LA EAGT IYUNGA MBEYA JUMAMOSI IJAYO

Emmanuel mgogo akiwa na mkewe mtarajiwa 
           TAZAMA VIDEO YA MSIKILIZE MUNGU YA EMMANUEL MGOGO.
STORY,.
Mwanamuziki nguli wa mziki wa injili anayetamba na albamu mbalimbali kama vile Ipo wapi njia ile,Msikilize mungu,na Usipotelee mwishoni hatimaye baada ya maisha ya upweke sasa amemsikiliza Mungu na tare 14 november mwaka huu anatarajia kufunga ndoa katika kanisa la eagt iyunga jijini Mbeya 
akizungumza na mtandao huu Emmanuel Mgogo amesema mpaka sasa maandalizi yanaendelea vizuri hivyo anamwamini mungu kuwa ataifanikisha siku hiyo.
TAZAMA VIDEO ZAKE HAPO CHINI.

Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog