Home » » Hawa ndio Wabunge 256 waliothibitishwa na Tume ya NEC wanasubiri kuapishwa..

Hawa ndio Wabunge 256 waliothibitishwa na Tume ya NEC wanasubiri kuapishwa..

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli tayari ameapishwa na kuanza kazi… kwa upande wa Wabunge wenyewe bado.
Kinachosubiriwa ni kuitishwa kwa Bunge la 11 ambapo Spika Mteule pamoja na Wabunge wote wataapishwa… kingine kitakachofanyika ni uthibitisho wa jina la Waziri Mkuu, uchaguzi wa Naibu Spika na ufunguzi rasmi wa Bunge la 11.

Kulikuwa na stori nyingi sana wakati wa mchakato mzima wa Uchaguzi Mkuu ikiwemo matokeo kukataliwa na baadhi ya Wagombea, kwingine Uchaguzi haukufanyika kabisa, kwingine uchaguzi ulisogezwa mbele kwa sababu mbalimbali. Lakini mpaka leo November 12 2015 hapa ninayo majina ya Wabunge 256 ambayo Tume ya Uchaguzi NEC imeyathibitisha kwamba wamepita kwenye Uchaguzi na wanasubiri kuapishwa.
Wabunge TZ III-page-001 Wabunge TZ III-page-002 Wabunge TZ III-page-003 Wabunge TZ III-page-004 Wabunge TZ III-page-005 Wabunge TZ III-page-006 Wabunge TZ III-page-007 Wabunge TZ III-page-008 Wabunge TZ III-page-009 Wabunge TZ III-page-010 Wabunge TZ III-page-011 Wabunge TZ III-page-012 Wabunge TZ III-page-013 Wabunge TZ III-page-014 Wabunge TZ III-page-015 Wabunge TZ III-page-016 Wabunge TZ III-page-017 Wabunge TZ III-page-018 Wabunge TZ III-page-019
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog