|
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI
|
|
TAARIFA KWA VYOMBO VYA
HABARI
UCHAGUZI
WA UBUNGE NA UDIWANI ULIOAHIRISHWA TAREHE 25 OKTOBA, 2015
Tume ya Taifa ya Uchaguzi inawatangazia wananchi wote
kuwa Uchaguzi wa Ubunge na Udiwani katika Jimbo na Kata ambazo hazikufanya Uchaguzi
tarehe 25 Octoba 2015 kwa sababu mbalimbali isipokuwa kifo, Uchaguzi huu sasa
utafanyika tarehe 15 Novemba na tarehe
13 Decemba 2015.
Jimbo na Kata zitakazo husika ni kama ifuatavyo:
15
Novemba 2015
Na.
|
JIMBO
|
MKOA
|
1.
|
LULINDI
– MASASI DC
|
MTWARA
|
|
|
|
15
Novemba 2015
Na
|
KATA
|
HALMASHAURI
|
1.
|
KILOLENI
|
URAMBO
DC
|
2.
|
MALAMBO
|
NGORONGORO
DC
|
3.
|
NGARESERO
|
|
4.
|
MIZIBAZIBA
|
NZEGA
DC
|
5.
|
TONGI
|
|
6.
|
LUDETE
|
GEITA
|
7.
|
BUKULA
|
RORYA
|
8.
|
BUPAMWA
|
KWIMBA
DC
|
9.
|
MWAMBANI
|
CHUNYA
DC
|
10.
|
ITEWE
|
|
11.
|
MKOLA
|
|
12.
|
MBUYUNI
|
|
13.
|
ISEBYA
|
MBOGWE
DC
|
14.
|
MATONGO
|
BARIADI
DC
|
15.
|
MAJENGO
|
KOROGWE
DC
|
16.
|
SONGWE
|
KILINDI
DC
|
17.
|
MKONGOBAKI
|
LUDEWA
DC
|
18.
|
MAHANJE
|
MADABA
DC
|
19.
|
KAGERA
|
KIGOMA
UJIJI
|
20.
|
MILEPA
|
SUMBAWANGA
|
21.
|
RUJEWA
|
MBARARI
DC
|
22.
|
MAGAMBA
|
MPANDA
DC
|
23.
|
MKONGO
GULIONI
|
NAMTUMBO
|
24.
|
LISIMONJI
|
|
25.
|
SARANGA
|
KINONDONI
|
13
Decemba 2015
Na
|
KATA
|
HALMASHAURI
|
1.
|
IPALA
|
DODOMA
DC
|
2.
|
NYAMILOLELWA
|
GEITA
DC
|
-
Vituo vya kupigia Kura ni
vile vilivyotumika wakati wa upigaji Kura za Urais Oktoba 25, 2015
-
Vituo vitafunguliwa saa
1:00 asubuhi hadi saa 10:00 jioni.
-
Wanaoruhusiwa kupiga Kura
ni wale walio na kadi za Mpiga Kura na wamo katika Daftari la Kudumu la Wapiga
Kura.
NB: Kumbuka Uchaguzi katika Jimbo la Kijitoupele
Zanzibar utafanyika baadaye.
IMETOLEWA
NA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI
Kailima,R.K
MKURUGENZI
WA UCHAGUZI
0 comments:
Post a Comment