Home » » Masanja Mkandamizaji na maneno yake 16 baada ya kushindwa kura za maoni Ubunge wa Ludewa..

Masanja Mkandamizaji na maneno yake 16 baada ya kushindwa kura za maoni Ubunge wa Ludewa..

List ya mastaa wa Bongo Tanzania ambao walijitosa na kujipanga kwenye foleni ya kuusaka Ubunge iliongezeka baada ya mchekeshaji kutoka Kundi la Orijino Komedi, Masanja Mkandamizaji nae kujitosa kwenye foleni hiyo.
Masanja alithibitisha kwamba kazi ya Ubunge anaiweza >>>  “Orijino Komedi ipo, mimi sio member wa kundi, mimi ni mwanzilishi.. siwezi kuacha Komedi, mbona nilikuwa Mchungaji na sikuacha Komedi.. nitakuwa Mbunge, Komedi na Church…” >> Hii ni siku chache zilizopita kwenye exclusive interview na millardayo.com pamoja na #Amplifaya.
Masanja new
Masanja akiwa kwenye Ofisi za Chama wakati wa mchakato wa Kura za maoni, Ludewa Njombe.
Kura hazikutosha kwake, maana yake ni kwamba kwenye Kura za maoni upande wa makada wa CCM Ludewa, Masanja hajafanikiwa kupita… lakini aliahidi pia hata kama akishindwa bado ataendela kumpa support yule atakaepita.
Kwenye ukurasa wake wa Twitter, Masanja ameandika haya kukubali matokeo >>>> “Ludewa ….. Dah! Najipanga nitarudi tena. Sasa ni muda wa kumpigia kampeni aliyepita ili akatuwakilishe Bungeni. ” >>> 
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog