Kwenye show ya XXL alhamisi ya November 12 2015 mgeni aliyealikwa alikuwa ni Alikiba ambaye alikuja kuzindua mdundo wa ngoma mpya ambayo wameshirikiana na Christian Bella… lakini kuna story za zamani hivi nazo ziliguswa pia.
Unajua Alikiba akiisikia ngoma ya ‘Usiniseme’ anakumbuka wapi? >>> ‘Nakumbuka safari zangu kwenda G Records, ilikuwa ni lazima niende nikashinde na Producer wangu KGT kila siku hata kama sina kazi‘
Ana mpango wa kuachia album? >>> ‘Nitatoa
album mwakani kwa mfumo wa digital nikimpata msambazaji mzuri… nataka
kufanya album kali sio nijaze tu nyimbo kwenye album… nakumbuka album ya
kwanza niliyonunua ilikuwa album ya AY, halafu nikanunua ya Matonya… ni kuonesha tu kwamba najali muziki
0 comments:
Post a Comment