Home » »

MAJAMBAZI WAKAMATWA WAKIJARIBU KUWAKIMBIA POLISI DARAJANI ZANZIBAR.

Mmoja kati ya majambazi waliokamatwa akiwa amelala chini baada ya kujeruhiwa na polisi.
...Jambazi huyo akiwa katika gari la polisi.
Polisi wakiwa katika tukio hilo.
Baadhi ya wananchi wakishuhudia tukio hilo.
Majambazi wamekamatwa Darajani Zanzibar jana baada ya kufyatuliana risasi na polisi wakati wakijaribu kukimbia. Katika tukio hilo wananchi kadhaa waliruhiwa kwa kugongwa na gari katika harakati za majambazi hayo kukimbia. Polisi imewatia mbaroni majambazi watatu baada ya wananchi kutoa ushirikiano. 
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog