Home » »

SHANGILIENI KWAYA ARUSHA, INAONDOKA MDA HUU KUELEKEA AFRIKA YA KUSINI KIHUDUMA, ANGALIA PICHA

Kwaya kongwe nchini ya Tumaini Shangilieni kutoka St. James Anglican Arusha inaondoka mida hii kwa ndege ya kampuni ya Fastjet kuelekea nchini Afrika ya kusini kihuduma,ambapo inatarajiwa kurejea nchini siku ya jumanne ijayo. Tutawajulisha zaidi juu ya safari hiyo






Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog