Home » »

BALOTELLI AZUA LINGINE ITALI BAADA YA KUTWEET "THIS IS THE END"

MSHAMBULIAJI Mario Balotelli amewachangasha tena mashabiki wake leo baada ya kutweet 'this is the end' (huu ni mwisho) saa kadhaa baada ya kukosa penalti AC Milan ikilazimishwa sare ya 1-1 na Genoa.
Mshambuliaji huyo hatari, alitweet ujumbe huo Kiingerezamajira ya saa 11 Alfajiri kwa sa za kwao katika akaunti yake ya @finallymario.
Pamoja na hayo, saa sita baadaye akatuma ujumbe mwingine wa tweet Kitaliano, uliosomeka: ‘Forza Milan comunque e sempre.’ ambao Kiingereza ni 'Go on Milan, no matter how and forever'.
Mwisho wa barabara? Mario Balotelli alikosa penalti timu yake AC Milan inayosuasua ikilazimishwa sare ya 1-1 na Genoa
What does he mean? Balotelli tweets after AC Milan's draw with Genoa
Anamaanisha nini? Balotelli ametweet baada ya sare ya AC Milan na Genoa
Turn around? Balotelli later tweeted his support for Milan a few hours later
Spot of bother: Balotelli misses a penalty against Genoa
Balotelli akipiga penalti aliyokosa
No joy: Balotelli has missed two penalties this season
Hakuna furaha: Balotelli amekosa penalti mbili msimu huu
Down and out: Mario Balotelli looks dejected as AC Milan fail to win again
Down and out: Mario Balotelli looks dejected as AC Milan fail to win again
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog