Home » »

BARA KUJIFUA STIMA PAMOJA NA SUDAN, ETHIOPIA LEO

Na Mahmoud Zubeiry, Nairobi
TIMU zinazoshiriki michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge ambayo mwaka inafanyika hapa Nairobi, Kenya ikidhaminiwa na Serikali, zitafanya mazoezi katika viwanja vijnne tofauti leo.    
Viwanja hivyo ni Stima Club, Chuo Kikuu cha Strathmore, Uwanja wa City Stadium Ktuo cha Kimataifa cha Michezo cha Moi (MISC), Kasarani.
Uchovu umeisha; Kocha wa Bara, Kim Poulsen leo atakiongoza kikosi chake mazoezini kwa mara ya kwanza Nairobi, baada ya kuwasili jana. Chini, kikosi cha Stars kikiwasili Nairobi jana usiku.

MISC, Kasarani umetengwa maalum kwa ajili ya wenyeji, Kenya, Harambee Stars, wakati Tanzania Bara, Sudan na Ethiopia watafanya pamoja kwenye Uwanja wa Stima.
Rwanda, Sudan Kusini na Burundi watatumia viwanja viwili vya Strathmore, huku Somalia, Zanzibar na Eritrea wakitumia mwingine na mabingwa watezi Uganda na Zambia watatumia Uwanja wa City.
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog