Home » »

Zitto Kabwe Afunika Morogoro.....Mamia ya Wananchi Wahudhuria Mkutano wa Chama Chake Cha ACT-Wazalendo


Viongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo wakicheza wimbo wa chama hicho, kwenye eneo la Uwanja wa Ndege mjini Morogoro kabla kiongozi wa chama hicho, Zitto Kabwe hajaanza kuhutubia. (Picha na Said Powa)
Kiongozi wa chama hicho akiwahutubia wananchi.

Wakazi wa Mji wa Morogoro wakigombea kununua kadi za chama cha ACT -Wazalendo kwenye eneo la Uwanja wa ndege mjini Morogoro.
Wakazi wa Mji wa Morogoro wakigombea kununua kadi za chama cha ACT-Wazalendo kwenye eneo la Uwanja wa Ndege mjini Morogoro.

Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog