Home » »

EXCLUSIVE:REBECCA MALOPE YUPO TAYARI KUFANYA KOLABO NA WAIMBAJI WA TANZANIA (VIDEO).


K7
Dr. Rebecca Malope leo asubuhi akiwa kwenye Gospel Traxx ya Clouds Fm Inayoongozwa na Harris Kapiga akishirikiana na Huruma Moshi. Walipata time ya kuzungumza na Dr. Rebecca. Moja kati ya vitu walivyotaka kuvijua ni kwa nini Rebecca alitunga wimbo wa AMA VIP?
Lakini pia Dr. Rebecca alipata time ya kutengeneza jingles/Shout Out akishirikiana na Huruma Moshi pamoja Hudson Kamoga.
Dr. Rebecca amevutiwa sana na mapokezi ya GT ya Clouds Fm na pia alionyesha nia yake ya dhati ya kutaka kufanya collabo na mwanamziki wa Mziki wa Injili Tanzania. Akiwa mwenye furaha kubwa alisema kuwa yupo tayari kufanya collabo endapo mipango itawekwa sawa.
Tazama matukio ya utengenezaji wa Jingles pamoja na Interview alipokuwa kwenye Gospel Traxx ya Clouds Fmleo.

K3
K2
K4
Dr. Rebecca,Huruma Moshi,Huddson Kamoga wakimuelekeza jinsi ya kutamka maneno ya kiswahili kabla ya kuingiza Jingles
K5
K6
Produz wa GT Faraja akiweka vitu sawa kwaajili ya utengenezaji
K7
K8
Hapa Dr.Rebecca akieleza nia yake kubwa ya kufanya kolabo na waimbaji wa Tanzania.
K28
K10
Mtangazaji wa Kiango Radio Belinda akifanya Interview na Dr.Rebecca Malope.
K15
Kushote ni Executive Director wa Unclejimmytemu.com Sia Temu,Rebecca Malope na Belinda
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog