Home » »

RATIBA YA PILI YA MAZISHI YA ALIYEKUWA WAZIRI WA FEDHA HII HAPA



                                Dr  Wiliam Mgimwa  enzi  za uhai  wake 

Ratiba ya Mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Marehemu Dkt. William A. Mgimwa
Siku & Tarehe
Muda
Tukio
Mhusika
Jumamosi
4 Januari, 2014
 7:30
Mwili kuwasili JNIA
7:30 – 7:40
Kuutambua mwili na kukamilisha taratibu za uhamiaji
Bwana Bunare wa HAZINA na Mwanafamilia
7:30 -  7:40
Kumpokea mjane kutoka kwenye ndege kwenda VIP
Kaimu Waziri wa Fedha; Mwenyekiti wa Kamati; Mhe. Sophia Simba; Katibu Mkuu NJE; Balozi wa Tanzania Afrika ya Kusini; Monica Mwamunyange; Wanafamilia watatu
7:40 – 8:00
Mwili kubebwa na kuwekwa kwenye gari
Waombolezaji
8:00 – 8:30
Msafara kuelekea nyumbani
Kamati
8:30 – 10:00
Ibada ya Misa Takatifu nyumbani
Padre
10:00 – 10:30
Mwili kupelekwa Hospitali ya Lugalo
Kamati na Familia
10:30 – 12:00
Viongozi wa Kitaifa kutoa pole kwa familia
Mhe. Janeth Mbene na Kamati
Jumapili
5 Januari, 2014
2:00 – 4:00
Kifungua kinywa nyumbani kwa marehemu
Kamati
4:30
Waombolezaji kuwasili Viwanja vya karimjee
Kamati na Wanafamilia
5:00
Mwili kuwasili viwanja vya Karimjee
Kamati
5:45
Mhe. Makamu wa Rais kuwasili Karimjee
Kamati
6:00
Mhe. Rais kuwasili Karimjee
Kamati
6:00 – 6:20
Ibada fupi
Padre
6:20 – 6:25
Wasifu wa marehemu
Katibu Mkuu – HAZINA
6:25 – 6:30
Salamu za rambi rambi
Waziri wa Fedha wa Uganda kwa niaba ya Mawaziri wa Fedha Afrika Mashariki
6:30 – 6:35
Salamu za rambi rambi
Mwakilishi wa Washirika wa Maendeleo (DPs)
6:35 – 6:40
Salamu za rambi rambi
Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni kwa niaba ya Vyama vya Upinzani
6:40 – 6:45
Salamu za rambi rambi
Kiongozi wa CCM Bungeni
6:45 – 6:55
Salamu za Bunge
Spika wa Bunge
6:55 – 7:00
Salamu za rambi rambi
Waziri wa Fedha, Zanzibar
7:00 – 7:05
Salamu za rambi rambi
Kaimu Waziri wa Fedha SMT
7:05 – 7:10
Shukrani
Mwakilishi wa Familia
7:10 – 7:15
Hitimisho
Mwenyekiti wa Kamati
7:15 – 8:00
Kutoa Heshima za mwisho
Kamati
8:00 – 8:40
Kuelekea Uwanja wa Ndege
Wanaosafiri
10.00-11.00
Mwili kuwasili uwanja wa ndege wa Nduli Iringa na kuelekea katika Ukumbi wa Siasa ni Kilimo kwa heshima za Mwisho
Mkuu wa Mkoa na Kamati
11.00
Mwili kuelekea Kijijini Magunga
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog