RATIBA YA PILI YA MAZISHI YA ALIYEKUWA WAZIRI WA FEDHA HII HAPA
Dr Wiliam Mgimwa enzi za uhai wake
Ratiba
ya Mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Marehemu
Dkt. William A. Mgimwa
Siku
& Tarehe
|
Muda
|
Tukio
|
Mhusika
|
Jumamosi
4
Januari, 2014
|
7:30
|
Mwili kuwasili JNIA
|
|
7:30 – 7:40
|
Kuutambua mwili na kukamilisha taratibu za uhamiaji
|
Bwana Bunare wa HAZINA na Mwanafamilia
|
|
7:30 - 7:40
|
Kumpokea mjane kutoka kwenye ndege kwenda VIP
|
Kaimu Waziri wa Fedha; Mwenyekiti wa Kamati; Mhe.
Sophia Simba; Katibu Mkuu NJE; Balozi wa Tanzania Afrika ya Kusini; Monica
Mwamunyange; Wanafamilia watatu
|
|
7:40 – 8:00
|
Mwili kubebwa na kuwekwa kwenye gari
|
Waombolezaji
|
|
8:00 – 8:30
|
Msafara kuelekea nyumbani
|
Kamati
|
|
8:30 – 10:00
|
Ibada ya Misa Takatifu nyumbani
|
Padre
|
|
10:00 – 10:30
|
Mwili kupelekwa Hospitali ya Lugalo
|
Kamati na Familia
|
|
10:30 – 12:00
|
Viongozi wa Kitaifa kutoa pole kwa familia
|
Mhe. Janeth Mbene na Kamati
|
|
Jumapili
5
Januari, 2014
|
2:00 – 4:00
|
Kifungua kinywa nyumbani kwa marehemu
|
Kamati
|
4:30
|
Waombolezaji kuwasili Viwanja vya karimjee
|
Kamati na Wanafamilia
|
|
5:00
|
Mwili kuwasili viwanja vya Karimjee
|
Kamati
|
|
5:45
|
Mhe. Makamu wa Rais kuwasili Karimjee
|
Kamati
|
|
6:00
|
Mhe. Rais kuwasili Karimjee
|
Kamati
|
|
6:00 – 6:20
|
Ibada fupi
|
Padre
|
|
6:20 – 6:25
|
Wasifu wa marehemu
|
Katibu Mkuu – HAZINA
|
|
6:25 – 6:30
|
Salamu za rambi rambi
|
Waziri wa Fedha wa Uganda kwa niaba ya Mawaziri wa
Fedha Afrika Mashariki
|
|
6:30 – 6:35
|
Salamu za rambi rambi
|
Mwakilishi wa Washirika wa Maendeleo (DPs)
|
|
6:35 – 6:40
|
Salamu za rambi rambi
|
Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni kwa niaba ya
Vyama vya Upinzani
|
|
6:40 – 6:45
|
Salamu za rambi rambi
|
Kiongozi wa CCM Bungeni
|
|
6:45 – 6:55
|
Salamu za Bunge
|
Spika wa Bunge
|
|
6:55 – 7:00
|
Salamu za rambi rambi
|
Waziri wa Fedha, Zanzibar
|
|
7:00 – 7:05
|
Salamu za rambi rambi
|
Kaimu Waziri wa Fedha SMT
|
|
7:05 – 7:10
|
Shukrani
|
Mwakilishi wa Familia
|
|
7:10 – 7:15
|
Hitimisho
|
Mwenyekiti wa Kamati
|
|
7:15 – 8:00
|
Kutoa Heshima za mwisho
|
Kamati
|
|
8:00 – 8:40
|
Kuelekea Uwanja wa Ndege
|
Wanaosafiri
|
|
10.00-11.00
|
Mwili kuwasili uwanja wa ndege wa Nduli Iringa na
kuelekea katika Ukumbi wa Siasa ni Kilimo kwa heshima za Mwisho
|
Mkuu wa Mkoa na Kamati
|
|
11.00
|
Mwili kuelekea Kijijini Magunga
|
|
0 comments:
Post a Comment