Home » »

MAN UNITED MWAKA WA TABU, YATOLEWA KOMBE LA FA, YAPIGWA 2-1 NA SWANSEA

MIKOSI imeendelea kwa kocha David Moyes, baada ya Manchester United kufungwa mabao 2-1 na Swansea katika Raundi ya tatu ya Kombe la FA na kutolewa.
Bao lililoizamisha United iliyocheza pungufu ya mchezaji mmoja lilifungwa na Wilfried Bony dakika ya mwisho na Mashetani Wekundu wa wanatolewa katika raundi ya tatu kwa mara pili ndani ya miaka 30.
Javier Hernandez aliisawazishia United dakika ya 17 baada ya Wayne Routledge kuifungia Swansea bao la kuongoza dakika ya 12.
Shujaa: Bony akishangilia baada ya kuifungia Swansea bao lililoipeleka raundi ya nne ya Kombe la FA
Perfect: Bony rose above the United defence to head home Wayne Routledge's left-wing cross
Bony akiruka dhidi ya mabeki wa United kufunga

Katika mchezo mwingine, Liverpool imeifunga mabao 2-0 Oldham na kusonga mbele mabao ya Iago Aspas dakika ya 54 na Tarkowski aliyejifunga dakika ya 84.
The opener: Iago Aspas gave Liverpool the lead against Oldham in the 54th minute
Bao la kwanza: Iago Aspas akishangilia baada ya kufunga bao la kwanza
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog