Home » »

BALOZI WA TANZANIA NCHINI AFRIKA KUSINI AELEZEA SABABU ZA KIFO CHA WAZIRI MGIMWA...!!

WAKATI kukiwa na maswali mengi juu ya nini kilichosababisha kifo cha Waziri wa Fedha na Uchumi, marehemu Dk. William Mgimwa, Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Radhia Msuya amesema kifo chake ni cha kawaida na kimetokana na viungo vyake kushindwa kufanya kazi.
Balozi Msuya ametoa kauli hiyo
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog