Home » »

...................................................................................................................
...............................

MKAZI  wa Kijiji cha Ihowanza  wilaya  ya  Mufindi mkoani Iringa John Nwali (40)  akutwa amekufa baada ya kutoweka nyumbani  kwake kwa  wiki  moja   mara  baada ya  shamla  shamla  za kuuaga  mwaka mpya 

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa Ramadhan Mungi alithibitisha kutokea kwa tukio hilo leo alipokuwa akizungumza na mtandao huu wa www.matukiodaima.com ofisini kwake.

Alisema  kuwa tukio hilo lilitokea Januari 9 majira ya saa 1 jioni mwaka huu katika Kitongoji cha Ihowanza Kata ya Ihowanza Tarafa ya Malanali Wilaya ya Mufindi.

Alisema  mwili  wa  mkazi  huyo  ulikutwa  janurai 9 majira ya  jioni huku mwili wake ukiwa umeharibiwa vibaya  na baadhi ya viungo vyake kuliwa na mbwa na kuwa  jeshi la  polisi linaendelea na uchunguzi zaidi  juu ya  kifo  hicho.
Facebook Blogger Plugin: Bloggerized by Joseph Kipangula Enhanced by Joseph Kipangula

0 comments:

Post a Comment

NURU FM 93.5 IRINGA

.

.

.

Nyali

Pages

Pages

Powered by Blogger.

Blog Archive

Search This Blog