Mtoto wa Sheikh Yahya Hussein atabiri Jinamizi la Kifo kuendelea kuwatafuna wasanii na Wanahabari Nchini..!!
MTOTO wa aliyekuwa mtabiri maarufu nchini, Shehe
Yahya Hussein, Maalim Hussein Yahya ametoa utabiri wake wa mwaka na
kusema kwamba vifo zaidi vitaendelea kutokea kwa mastaa wa filamu,
muziki, waandishi wa habari, viongozi wa dini pamoja na wanasiasa,
Risasi Jumamosi linaweka bayana.
Aliyekuwa mtabiri maarufu nchini, Shehe Yahya Hussein. |
Akifafanua kuhusu utabiri wake huo, Maalim Hussein alisema
0 comments:
Post a Comment